Porini Wikiendi

Jamani wee! Wakazi wa Dar kwa Shs 95000tu Tukampuzike Camp

Inalipia: Usafiri, Malazi, Chakula maji ya kunywa. 

Mnapewa na Mbuzi mzima na Kuku 5  kuchinja wenyewe.

 

Trip:

 Kila jumamosi kuanzia saa 5:00 asubuhi 

Usafiri: Hice

Vituo: Magomeni M/chai Petrol station, Manzese, Ubungo, Kimara, Kibaha hadi Ubena Bwawani. 

Nafasi 12 

Safari:  masaa 2.30.

Kupumzika njiani: 

Msolwa baada ya Chalinze. 

Ratiba:

 - Kupatiwa vyumba

- Lunch - vyakula vya asili mchanganyiko.

- Kufahamishwa na kutembelea maeneo ya camp na kupiga picha

- Kurejea vyumbani kuoga nk.

- Kurejea eneo la terrace mtoni kupata upepo wa mto.

- 1.30 jioni  Dinner. 

- Saa 2.00 mkesha Campfire/moto wa kibantu na nyamachoma mbuzi/kuku wa kienyeji na vinywaji kwa bidii yako.

- Jumapili asubuhi kuamka saa 3:00 

- Saa 3:30 asubuhi supu ya nguvu.

- Saa 4:00 asubuhi - 6 00 alasiri Utawala binafsi.

- Saa 6:30 alasiri Lunch.

- Saa 7:30 alasiri Safari ya kurejea Dar es salaam inaanza.

 

Jamani hujapumzisha akili bado?!

 

Mambo yote Ngerengere River Eco camp

Mr. Remigius Mushenga

 

Mobile/Whatsapp +255787933579

Jina la benki: Tanzania Commercial Bank

Jina la akaunti: Ngerengere River Eco Camp/Tour

Numa la akaunti: 330207000033